Malezi na Elimu ya Kiinjili katika Nchi inayoendelea Tanzaniua

Artikel-Nr.: 978-3-87214-907-7

Auf Lager
Lieferzeit: 3 Werktage

15,00
Preis inkl. MwSt., zzgl. Versand


Mchango kwa Mazungumzo ya Tamaduni mbalimbali za Makanisa ya Kiinjili
Maandiko ya Makumira No 6
Judah B.M. Kiwovele aliandika doctoral thesis hii mwaka wa 1982. Alijaribu kuunganisha mapokeo ya kiutamanduni ya kibena na mafundisho ya Martin Luther ili kuonyesha njia ya "inculturation" ya Imani ya Kikristo katika mazingira na hali halisi ya Tanzania Kusini. Andiko hili linakuwa na maelezo mazuri ya mila na desturi ya kibena pamoja na ya hali ya wakati wa Uhuru wa Tanzania (Ujamaa).
Kwa hiyo andiko hili ni sauti nzuri na kumbukumbu muhimu ya njia ya kuelekea na kutengeneza uhuru nchini.
Kwa hiyo andiko lake limetafsiriwa sasa katika lugha ya Kiswahili.
Download: Inhaltsverzeichnis und Vorwort
Diese Kategorie durchsuchen: Makumira Publication